Mathayo 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 lakini lango ni jembamba na barabara inayoongoza kwenye uzima ina nafasi ndogo, na wachache ndio wanaoipata.+ Luka 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa mtu fulani akamwambia: “Bwana, je, wale wanaookolewa ni wachache?”+ Akawaambia:
14 lakini lango ni jembamba na barabara inayoongoza kwenye uzima ina nafasi ndogo, na wachache ndio wanaoipata.+