7 Ndipo akaendelea kuwaambia mfano wale watu walioalikwa, kwa kuwa aliangalia jinsi walivyokuwa wakijichagulia wenyewe mahali penye kuonekana zaidi, akawaambia:+
10 Lakini unapoalikwa, nenda ukaketi mahali pa chini zaidi,+ ili mtu ambaye amekualika atakapokuja akuambie, ‘Rafiki, nenda juu zaidi.’ Ndipo utakapokuwa na heshima mbele ya wageni wenzako wote walioalikwa.+