13 “Nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na, tazama! mtu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa anakuja na mawingu+ ya mbingu; naye akaja kwa Mzee wa Siku,+ nao wakamleta karibu mbele zake Yule.+
24 Kwa maana kama vile umeme,+ unapowaka, hung’aa kutoka sehemu moja chini ya mbingu mpaka sehemu nyingine chini ya mbingu, ndivyo Mwana wa binadamu+ atakavyokuwa.
15 Kwa maana tunawaambia hivi kwa neno la Yehova,+ kwamba sisi tulio hai ambao tutabaki mpaka kuwapo kwa Bwana+ hatutawatangulia kwa vyovyote wale ambao wamelala usingizi katika kifo;