12 Na nchi hakika itaomboleza,+ kila familia peke yake; familia ya nyumba ya Daudi peke yake, na wanawake wao peke yao;+ familia ya nyumba ya Nathani+ peke yake, na wanawake wao peke yao;
7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona,+ na wale waliomchoma;+ na makabila yote ya dunia yatajipiga-piga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.