Mwanzo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na dunia ikaharibika machoni pa Mungu wa kweli,+ dunia ikajaa jeuri.+ Isaya 54:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Jambo hili kwangu ni kama tu siku za Noa.+ Kama vile ambavyo nimeapa kwamba maji ya Noa hayatapita tena juu ya dunia,+ vivyo hivyo nimeapa kwamba sitakuwa na ghadhabu tena kukuelekea wewe wala kukukemea.+
9 “Jambo hili kwangu ni kama tu siku za Noa.+ Kama vile ambavyo nimeapa kwamba maji ya Noa hayatapita tena juu ya dunia,+ vivyo hivyo nimeapa kwamba sitakuwa na ghadhabu tena kukuelekea wewe wala kukukemea.+