Kumbukumbu la Torati 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo alikunyenyekeza, akakuacha ukae na njaa,+ akakulisha mana,+ ambayo hukuwa umeijua wala baba zako hawakuwa wameijua; ili kukufanya ujue kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali mwanadamu huishi kwa kila neno la kinywa cha Yehova.+ Luka 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yesu akamjibu: “Imeandikwa, ‘Mwanadamu hataishi kwa mkate tu.’ ”+ Yohana 4:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akawaambia: “Chakula+ changu ni mimi kufanya mapenzi+ yake aliyenituma na kuimaliza kazi yake.+
3 Kwa hiyo alikunyenyekeza, akakuacha ukae na njaa,+ akakulisha mana,+ ambayo hukuwa umeijua wala baba zako hawakuwa wameijua; ili kukufanya ujue kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali mwanadamu huishi kwa kila neno la kinywa cha Yehova.+
34 Yesu akawaambia: “Chakula+ changu ni mimi kufanya mapenzi+ yake aliyenituma na kuimaliza kazi yake.+