Mathayo 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Ndiyo sababu ufalme wa mbinguni umekuwa kama mtu, mfalme,+ aliyetaka kufanya hesabu+ pamoja na watumwa wake. Luka 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Mwishowe aliporudi baada ya kupata mamlaka ya kifalme aliamuru watumwa hao ambao alikuwa amewapa fedha waitwe, ili ahakikishe kile walichokuwa wamepata faida kwa biashara.+
23 “Ndiyo sababu ufalme wa mbinguni umekuwa kama mtu, mfalme,+ aliyetaka kufanya hesabu+ pamoja na watumwa wake.
15 “Mwishowe aliporudi baada ya kupata mamlaka ya kifalme aliamuru watumwa hao ambao alikuwa amewapa fedha waitwe, ili ahakikishe kile walichokuwa wamepata faida kwa biashara.+