Luka 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye akashuka kwenda Kapernaumu,+ jiji moja la Galilaya. Naye alikuwa akiwafundisha siku ya sabato; Yohana 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baada ya hayo, yeye na mama yake na ndugu zake+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi.
31 Naye akashuka kwenda Kapernaumu,+ jiji moja la Galilaya. Naye alikuwa akiwafundisha siku ya sabato;
12 Baada ya hayo, yeye na mama yake na ndugu zake+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi.