Yohana 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 lakini Petro alikuwa amesimama nje kwenye mlango.+ Kwa hiyo yule mwanafunzi mwingine, ambaye alijulikana na kuhani mkuu, akatoka nje na kusema na mtunza-mlango, akamwingiza Petro ndani.
16 lakini Petro alikuwa amesimama nje kwenye mlango.+ Kwa hiyo yule mwanafunzi mwingine, ambaye alijulikana na kuhani mkuu, akatoka nje na kusema na mtunza-mlango, akamwingiza Petro ndani.