Marko 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Pilato, akitaka kuuridhisha umati,+ akawafungulia Baraba, na, baada ya kuagiza Yesu apigwe mijeledi, akamtoa ili atundikwe mtini.+ Luka 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 akamfungua+ yule mtu aliyekuwa ametupwa gerezani kwa uchochezi wa uasi na kuua na ambaye wao walikuwa wakidai, lakini akamtia Yesu mikononi mwao wamtendee wanavyopenda.+
15 Ndipo Pilato, akitaka kuuridhisha umati,+ akawafungulia Baraba, na, baada ya kuagiza Yesu apigwe mijeledi, akamtoa ili atundikwe mtini.+
25 akamfungua+ yule mtu aliyekuwa ametupwa gerezani kwa uchochezi wa uasi na kuua na ambaye wao walikuwa wakidai, lakini akamtia Yesu mikononi mwao wamtendee wanavyopenda.+