Marko 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya kusonga mbele kidogo akamwona Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu yake walipokuwa katika mashua yao wakitengeneza nyavu zao;+ Yohana 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Waliokuwa pamoja ni Simoni Petro na Tomasi, aliyeitwa Pacha,+ na Nathanaeli+ kutoka Kana ya Galilaya na wana wa Zebedayo+ na wengine wawili kati ya wanafunzi wake.
19 Baada ya kusonga mbele kidogo akamwona Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu yake walipokuwa katika mashua yao wakitengeneza nyavu zao;+
2 Waliokuwa pamoja ni Simoni Petro na Tomasi, aliyeitwa Pacha,+ na Nathanaeli+ kutoka Kana ya Galilaya na wana wa Zebedayo+ na wengine wawili kati ya wanafunzi wake.