Mathayo 26:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini baada ya kufufuliwa nitawatangulia kuingia Galilaya.”+ 1 Wakorintho 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa wakati mmoja, ambao walio wengi kati yao wapo mpaka sasa,+ lakini wengine wamelala usingizi katika kifo.
6 Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa wakati mmoja, ambao walio wengi kati yao wapo mpaka sasa,+ lakini wengine wamelala usingizi katika kifo.