Mathayo 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa maana ikiwa mnawasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia;+ Mathayo 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Haikukupasa wewe, nawe, kuwa na rehema+ juu ya mtumwa mwenzako, kama mimi pia nilivyokuwa na rehema+ juu yako?’ Yakobo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.
33 Haikukupasa wewe, nawe, kuwa na rehema+ juu ya mtumwa mwenzako, kama mimi pia nilivyokuwa na rehema+ juu yako?’
13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.