Mathayo 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Mafarisayo wakamjia, wakikusudia kumjaribu na kusema: “Je, ni halali mwanamume kumtaliki mke wake kwa kila sababu?”+ Marko 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mafarisayo sasa wakamkaribia na, ili kumjaribu, wakaanza kumuuliza kama ni halali mwanamume kumtaliki mke wake.+
3 Na Mafarisayo wakamjia, wakikusudia kumjaribu na kusema: “Je, ni halali mwanamume kumtaliki mke wake kwa kila sababu?”+
2 Mafarisayo sasa wakamkaribia na, ili kumjaribu, wakaanza kumuuliza kama ni halali mwanamume kumtaliki mke wake.+