Luka 6:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Anayekupiga kwenye shavu+ moja, mgeuzie lile lingine pia; na anayechukua+ vazi lako la nje, usimzuilie hata lile vazi la ndani. 1 Wakorintho 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi, kwa kweli, inamaanisha kushindwa kwenu kabisa kwamba mnakuwa na mashtaka ya kisheria+ mtu na mwenzake. Kwa nini msiache mkosewe+ badala ya hivyo? Kwa nini msiache mpunjwe+ badala ya hivyo?
29 Anayekupiga kwenye shavu+ moja, mgeuzie lile lingine pia; na anayechukua+ vazi lako la nje, usimzuilie hata lile vazi la ndani.
7 Basi, kwa kweli, inamaanisha kushindwa kwenu kabisa kwamba mnakuwa na mashtaka ya kisheria+ mtu na mwenzake. Kwa nini msiache mkosewe+ badala ya hivyo? Kwa nini msiache mpunjwe+ badala ya hivyo?