Mambo ya Walawi 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+ Kumbukumbu la Torati 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utajionyesha kuwa huna kosa kwa Yehova Mungu wako.+ Luka 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Endeleeni kuwa wenye rehema, kama vile Baba yenu alivyo mwenye rehema.+ 1 Petro 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa sababu imeandikwa: “Muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+
2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+