2 Wafalme 4:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo akaingia ndani, akafunga mlango nyuma yao wawili,+ akaanza kusali kwa Yehova.+ Isaya 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+
20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+