Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Kufunga kwa mwezi wa nne,+ na kufunga kwa mwezi wa tano,+ na kufunga kwa mwezi wa saba,+ na kufunga kwa mwezi wa kumi+ itakuwa furaha na kushangilia na majira mema ya sherehe+ kwa nyumba ya Yuda. Basi pendeni kweli na amani.’+

  • Matendo 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Walipokuwa wakimhudumia+ Yehova hadharani na kufunga, roho takatifu ikasema: “Kati ya watu wote wekeni kando Barnaba na Sauli+ kwa ajili yangu kwa kazi ambayo nimewaitia wao.”

  • Matendo 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo wakafunga na kusali na kuweka mikono+ yao juu yao, wakawaacha waende zao.

  • Matendo 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Zaidi ya hayo, wakawaweka rasmi wanaume wazee+ kwa ajili yao katika kila kutaniko, wakatoa sala pamoja na kufunga,+ na kuwakabidhi kwa Yehova+ ambaye walikuwa wamemwamini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki