19 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Kufunga kwa mwezi wa nne,+ na kufunga kwa mwezi wa tano,+ na kufunga kwa mwezi wa saba,+ na kufunga kwa mwezi wa kumi+ itakuwa furaha na kushangilia na majira mema ya sherehe+ kwa nyumba ya Yuda. Basi pendeni kweli na amani.’+