42 Unawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu, niruhusu niutoe unyasi ulio katika jicho lako,’ hali wewe mwenyewe hulitazami boriti katika hilo jicho lako?+ Mnafiki! Kwanza toa boriti katika jicho lako mwenyewe,+ ndipo utaona waziwazi jinsi ya kuutoa unyasi ulio katika jicho la ndugu yako.+