11 Mungu akaendelea kusema: “Dunia na itoe majani, mimea inayozaa mbegu,+ miti ya matunda inayozaa matunda kulingana na aina zake,+ ambayo mbegu yake imo ndani yake,+ juu ya nchi.” Ikawa hivyo.
44 Kwa maana kila mti hujulikana kwa matunda yake.+ Kwa mfano, watu hawakusanyi tini kutoka katika miiba, wala hawakati zabibu kutoka katika mti wa miiba.+