Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mungu akaendelea kusema: “Dunia na itoe majani, mimea inayozaa mbegu,+ miti ya matunda inayozaa matunda kulingana na aina zake,+ ambayo mbegu yake imo ndani yake,+ juu ya nchi.” Ikawa hivyo.

  • Luka 6:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Kwa maana kila mti hujulikana kwa matunda yake.+ Kwa mfano, watu hawakusanyi tini kutoka katika miiba, wala hawakati zabibu kutoka katika mti wa miiba.+

  • Yakobo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndugu zangu, je, mtini unaweza kuzaa zeituni au mzabibu kuzaa tini?+ Wala maji ya chumvi hayawezi kutokeza maji matamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki