Mathayo 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Ufanyeni mti uwe mzuri na matunda yake yawe mazuri au muufanye mti uoze na matunda yake yaoze; kwa maana kwa matunda yake mti hujulikana.+ Luka 6:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 “Kwa maana hakuna mti mzuri unaozaa matunda yaliyooza; tena hakuna mti uliooza unaozaa matunda mazuri.+
33 “Ufanyeni mti uwe mzuri na matunda yake yawe mazuri au muufanye mti uoze na matunda yake yaoze; kwa maana kwa matunda yake mti hujulikana.+
43 “Kwa maana hakuna mti mzuri unaozaa matunda yaliyooza; tena hakuna mti uliooza unaozaa matunda mazuri.+