Marko 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na siku hiyo, ilipokuwa jioni, akawaambia: “Na tuvuke mpaka ukingo ule mwingine wa bahari.”+ Luka 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baadaye katika moja kati ya hizo siku yeye na wanafunzi wake waliingia katika mashua, naye akawaambia: “Na tuvuke mpaka upande ule mwingine wa ziwa.” Kwa hiyo wakasafiri.+
22 Baadaye katika moja kati ya hizo siku yeye na wanafunzi wake waliingia katika mashua, naye akawaambia: “Na tuvuke mpaka upande ule mwingine wa ziwa.” Kwa hiyo wakasafiri.+