Luka 9:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Lakini akamwambia: “Waache wafu+ wawazike wafu wao, lakini wewe nenda zako ukautangaze kotekote ufalme wa Mungu.”+ Yohana 1:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Siku iliyofuata alitamani kuondoka kwenda Galilaya. Kwa hiyo Yesu akamkuta Filipo+ na kumwambia: “Uwe mfuasi wangu.”+ Waroma 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wala msiendelee kuvitoa viungo vyenu kwa dhambi+ kuwa silaha za ukosefu wa uadilifu,+ bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai+ kutoka kwa wafu, pia viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha+ za uadilifu.
60 Lakini akamwambia: “Waache wafu+ wawazike wafu wao, lakini wewe nenda zako ukautangaze kotekote ufalme wa Mungu.”+
43 Siku iliyofuata alitamani kuondoka kwenda Galilaya. Kwa hiyo Yesu akamkuta Filipo+ na kumwambia: “Uwe mfuasi wangu.”+
13 Wala msiendelee kuvitoa viungo vyenu kwa dhambi+ kuwa silaha za ukosefu wa uadilifu,+ bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai+ kutoka kwa wafu, pia viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha+ za uadilifu.