41 Roho waovu pia wakawa wakiwatoka wengi,+ wakipaaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini, kwa kuwakemea, hakuwa akiwaruhusu kusema,+ kwa sababu walijua kuwa yeye+ ndiye Kristo.+
28 Alipomwona Yesu akalia kwa sauti kubwa akaanguka chini mbele yake, na kwa sauti kubwa akasema: “Nina nini nawe,+ Yesu Mwana wa Mungu Aliye Juu Zaidi? Ninakuomba, usinitese.”+