Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:65
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 65 Ndipo kuhani mkuu akayararua mavazi yake ya nje, akisema: “Amekufuru!+ Tunahitaji mashahidi wengine wa nini?+ Tazama! Sasa mmelisikia kufuru.+

  • Marko 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kwa nini mtu huyu anaongea namna hii? Anakufuru. Nani anayeweza kusamehe dhambi ila mmoja, Mungu?”+

  • Luka 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi waandishi na Mafarisayo wakaanza kujadiliana, wakisema: “Ni nani huyu anayesema makufuru?+ Ni nani anayeweza kusamehe dhambi ila Mungu peke yake?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki