Mathayo 26:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Ndipo kuhani mkuu akayararua mavazi yake ya nje, akisema: “Amekufuru!+ Tunahitaji mashahidi wengine wa nini?+ Tazama! Sasa mmelisikia kufuru.+ Marko 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Kwa nini mtu huyu anaongea namna hii? Anakufuru. Nani anayeweza kusamehe dhambi ila mmoja, Mungu?”+ Luka 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi waandishi na Mafarisayo wakaanza kujadiliana, wakisema: “Ni nani huyu anayesema makufuru?+ Ni nani anayeweza kusamehe dhambi ila Mungu peke yake?”+
65 Ndipo kuhani mkuu akayararua mavazi yake ya nje, akisema: “Amekufuru!+ Tunahitaji mashahidi wengine wa nini?+ Tazama! Sasa mmelisikia kufuru.+
7 “Kwa nini mtu huyu anaongea namna hii? Anakufuru. Nani anayeweza kusamehe dhambi ila mmoja, Mungu?”+
21 Basi waandishi na Mafarisayo wakaanza kujadiliana, wakisema: “Ni nani huyu anayesema makufuru?+ Ni nani anayeweza kusamehe dhambi ila Mungu peke yake?”+