Marko 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo akaondoka, akachukua mara moja kitanda chake, akatembea mbele yao wote na kwenda nje,+ hivi kwamba wote wakastaajabu, nao wakamtukuza Mungu, wakisema: “Hatujaona kamwe jambo kama hilo.”+
12 Ndipo akaondoka, akachukua mara moja kitanda chake, akatembea mbele yao wote na kwenda nje,+ hivi kwamba wote wakastaajabu, nao wakamtukuza Mungu, wakisema: “Hatujaona kamwe jambo kama hilo.”+