Yohana 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo Tomasi, aliyeitwa Pacha, akawaambia wanafunzi wenzake: “Acheni twende pia, ili tukafe pamoja naye.”+ Yohana 20:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Halafu akamwambia Tomasi: “Weka kidole chako hapa, uone mikono yangu, na chukua mkono+ wako utie ndani ya ubavu wangu, na uache kuwa asiyeamini bali uwe mwenye kuamini.”
16 Kwa hiyo Tomasi, aliyeitwa Pacha, akawaambia wanafunzi wenzake: “Acheni twende pia, ili tukafe pamoja naye.”+
27 Halafu akamwambia Tomasi: “Weka kidole chako hapa, uone mikono yangu, na chukua mkono+ wako utie ndani ya ubavu wangu, na uache kuwa asiyeamini bali uwe mwenye kuamini.”