Luka 6:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, lakini kila mtu aliyefundishwa kikamili atakuwa kama mwalimu wake.+ Yohana 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake, wala yule aliyetumwa si mkuu kuliko yule aliyemtuma.+ Yohana 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kumbukeni neno nililowaambia, Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa ninyi pia;+ ikiwa wamelishika neno langu, watalishika lenu pia.
40 Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, lakini kila mtu aliyefundishwa kikamili atakuwa kama mwalimu wake.+
16 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake, wala yule aliyetumwa si mkuu kuliko yule aliyemtuma.+
20 Kumbukeni neno nililowaambia, Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa ninyi pia;+ ikiwa wamelishika neno langu, watalishika lenu pia.