Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sikilizeni! Mtu fulani anaita nyikani:+ “Fungueni njia ya Yehova!+ Nyoosheni njia kuu kwa ajili ya Mungu wetu katika nchi tambarare ya jangwani.+

  • Malaki 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Tazama! ninamtuma mjumbe wangu,+ naye atafungua njia mbele zangu.+ Na kwa ghafula Bwana wa kweli+ atakuja kwenye hekalu Lake,+ ambaye ninyi mnamtafuta, na mjumbe+ wa agano+ mnayependezwa naye.+ Tazama! Atakuja hakika,” asema Yehova wa majeshi.+

  • Mathayo 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Huyu, kwa kweli, ndiye anayesemwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni+ njia ya Yehova! Nyoosheni barabara zake.’ ”

  • Luka 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Pia, atakwenda mbele zake kwa roho na nguvu za Eliya,+ ili kurudisha mioyo+ ya akina baba kwa watoto na wale wasiotii kwenye hekima inayotumika ya waadilifu, ili kuweka tayari kwa ajili ya Yehova+ watu waliotayarishwa.”+

  • Yohana 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ninyi wenyewe mnanitolea ushahidi kwamba nilisema, Mimi siye Kristo,+ bali, nimetumwa kumtangulia huyo.+

  • Yohana 10:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Na watu wengi wakamjia, nao wakaanza kusema: “Yohana, kwa kweli, hakufanya hata ishara moja, lakini mambo mengi ambayo Yohana alisema juu ya mtu huyu, yote yalikuwa ya kweli.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki