6 Basi kuhani akampa kilicho kitakatifu,+ kwa sababu hakukuwa na mkate mwingine hapo isipokuwa mkate wa wonyesho uliokuwa umeondolewa mbele za Yehova+ ili kuweka mkate mpya hapo, siku ambayo uliondolewa.
25 Lakini yeye akawaambia: “Je, hamjasoma hata mara moja jambo alilofanya Daudi+ alipokuwa na uhitaji akaona njaa, yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye?+