Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo Mafarisayo+ na Masadukayo wakamkaribia na, ili kumjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.+

  • Marko 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama, Mafarisayo wakatokea na kuanza kubishana naye, wakitafuta kwake ishara kutoka mbinguni, ili kumjaribu.+

  • Yohana 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo, Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Una ishara+ gani ya kutuonyesha, kwa kuwa unafanya mambo haya?”

  • 1 Wakorintho 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara+ na Wagiriki wanatafuta hekima;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki