Mathayo 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu aliuambia umati mambo yote hayo kwa mifano. Kwa kweli, hakuwa akisema nao bila mfano;+ Marko 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Sikilizeni. Tazama! Mpandaji alienda kupanda.+ Luka 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa umati mkubwa ulipokuwa umekusanyika pamoja na wale waliomwendea kutoka jiji baada ya jiji, akasema kwa njia ya mifano:+
4 Sasa umati mkubwa ulipokuwa umekusanyika pamoja na wale waliomwendea kutoka jiji baada ya jiji, akasema kwa njia ya mifano:+