13 “Tieni ndani mundu,+ kwa maana mavuno yameiva.+ Njooni, teremkeni, kwa maana shinikizo la divai limejaa.+ Mitungi ya shinikizo inafurika; kwa maana ubaya wao umekuwa mwingi.+
15 Na malaika mwingine akatokea katika patakatifu pa hekalu, akimpaazia sauti kubwa yule anayeketi juu ya lile wingu: “Tia ndani mundu wako uvune,+ kwa sababu saa imekuja ya kuvuna, kwa maana mavuno+ ya dunia yameiva kabisa.”+