55Haya, ninyi nyote mlio na kiu!+ Njooni kwenye maji.+ Na wale wasio na pesa! Njooni, mnunue mle.+ Ndiyo, njooni, mnunue divai+ na maziwa+ bila pesa na bila bei.+
18 ninakushauri ununue kutoka kwangu dhahabu+ iliyosafishwa kwa moto ili uwe tajiri, na mavazi meupe ya nje ili uvikwe na kwamba aibu ya uchi wako isifunuliwe,+ na dawa ya macho ya kupaka katika macho+ yako ili upate kuona.