Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 9:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Alipouona umati akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa wamechunwa ngozi na kutupwa huku na huku kama kondoo wasio na mchungaji.+

  • Mathayo 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Lakini Yesu akawaita wanafunzi wake na kusema:+ “Ninausikitikia+ umati, kwa sababu tayari wamekaa pamoja nami siku tatu nao hawana chakula; nami sitaki kuwaacha waende zao wakiwa wamefunga. Huenda wakazimia barabarani.”

  • Marko 1:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Ndipo akamsikitikia,+ naye akanyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia: “Ninataka. Takasika.”+

  • Luka 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Bwana alipomwona akamsikitikia,+ akamwambia: “Acha kulia.”+

  • Waebrania 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu,+ kusudi atoe dhabihu ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi za watu.+

  • Waebrania 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yeye anaweza kuwatendea kwa kiasi wale wasiojua na wanaokosea kwa kuwa yeye pia amezungukwa na udhaifu wake mwenyewe,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki