32 Lakini Yesu akawaita wanafunzi wake na kusema:+ “Ninausikitikia+ umati, kwa sababu tayari wamekaa pamoja nami siku tatu nao hawana chakula; nami sitaki kuwaacha waende zao wakiwa wamefunga. Huenda wakazimia barabarani.”
17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu,+ kusudi atoe dhabihu ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi za watu.+