48 Na alipowaona wakitaabika+ katika kuvuta kwao makasia, kwa maana upepo ulikuwa ukivuma kinyume chao, karibu kesha la nne la usiku akawaendea, akitembea juu ya bahari; lakini alitaka kuwapita.
19 Hata hivyo, walipokuwa wamevuta makasia karibu kilometa tano au sita, wakamwona Yesu akitembea juu ya bahari akiwa anaikaribia mashua; nao wakaogopa.+