Hesabu 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, mifugo na makundi yatachinjwa kwa ajili yao, ili iwatoshe?+ Au samaki wote wa baharini watakamatwa kwa ajili yao, ili iwatoshe?” 2 Wafalme 4:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Hata hivyo, mtu wake mwenye kumhudumia akasema: “Nitawekaje hiki mbele ya watu mia moja?”+ Naye akasema: “Wape watu ili wale, kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Kitaliwa na kutakuwa na masalio.’”+ Marko 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini wanafunzi wake wakamjibu: “Mtu yeyote aliye mahali hapa pasipo na watu atawashibisha watu hawa kwa mikate kutoka wapi?”+
22 Je, mifugo na makundi yatachinjwa kwa ajili yao, ili iwatoshe?+ Au samaki wote wa baharini watakamatwa kwa ajili yao, ili iwatoshe?”
43 Hata hivyo, mtu wake mwenye kumhudumia akasema: “Nitawekaje hiki mbele ya watu mia moja?”+ Naye akasema: “Wape watu ili wale, kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Kitaliwa na kutakuwa na masalio.’”+
4 Lakini wanafunzi wake wakamjibu: “Mtu yeyote aliye mahali hapa pasipo na watu atawashibisha watu hawa kwa mikate kutoka wapi?”+