Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Utakapokuwa umekula na kushiba,+ wewe pia unapaswa kumbariki+ Yehova Mungu wako kwa ajili ya mema ya nchi ambayo amekupa.+

  • 1 Samweli 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mara mtakapoingia jijini, mtamkuta moja kwa moja kabla hajapanda kwenda mahali pa juu ili ale chakula; kwa kuwa watu hawawezi kula mpaka aje, kwa maana yeye ndiye anayeibariki dhabihu.+ Baadaye wale walioalikwa hula. Basi sasa pandeni—sasa hivi mtampata.”

  • Mathayo 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Halafu akauamuru umati uketi kwenye majani naye akachukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akatoa baraka+ na, baada ya kuimega ile mikate, akawagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakaugawia ule umati.+

  • Marko 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akauagiza umati uketi chini, naye akaichukua ile mikate saba, akashukuru,+ akaimega, na kuanza kuwapa wanafunzi wake waigawe, nao wakaugawia umati.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki