Mathayo 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Au ile mikate saba katika kisa cha wale elfu nne na ni vikapu vingapi vya chakula mlivyookota?+ Marko 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi wakala na kushiba, nao wakaokota ziada ya vipande vidogo, vikapu saba vya chakula vilivyojaa.+
8 Basi wakala na kushiba, nao wakaokota ziada ya vipande vidogo, vikapu saba vya chakula vilivyojaa.+