Luka 17:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Yeyote yule anayetafuta kuitunza nafsi yake kwa ajili yake mwenyewe ataipoteza, lakini yeyote yule anayeipoteza ataihifadhi hai.+ Yohana 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+ Ufunuo 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wakamshinda+ kwa sababu ya damu ya Mwana-Kondoo+ na kwa sababu ya neno la kutoa kwao ushahidi,+ nao hawakupenda nafsi+ zao hata walipokabili kifo.
33 Yeyote yule anayetafuta kuitunza nafsi yake kwa ajili yake mwenyewe ataipoteza, lakini yeyote yule anayeipoteza ataihifadhi hai.+
25 Yule anayeipenda sana nafsi yake huiangamiza, lakini yule anayeichukia nafsi+ yake katika ulimwengu huu atailinda kwa ajili ya uzima wa milele.+
11 Nao wakamshinda+ kwa sababu ya damu ya Mwana-Kondoo+ na kwa sababu ya neno la kutoa kwao ushahidi,+ nao hawakupenda nafsi+ zao hata walipokabili kifo.