23 Wakati wanapowatesa ninyi katika jiji moja, kimbilieni jiji lingine;+ kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi, Hamtamaliza kuyazunguka+ majiji ya Israeli mpaka Mwana wa binadamu atakapofika.+
9Zaidi ya hayo, akaendelea kuwaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kuna baadhi ya wale wanaosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe mpaka kwanza wauone ufalme wa Mungu ukiwa tayari umekuja katika nguvu.”+