9 Walipokuwa wakishuka kutoka kwenye ule mlima, akawaagiza waziwazi wasimsimulie+ mtu yeyote kile walichoona, mpaka baada ya Mwana wa binadamu kufufuka kutoka kwa wafu.+
36 Na ile sauti ilipokuwa ikitokea Yesu alionekana akiwa peke yake.+ Lakini wakaendelea kukaa kimya nao hawakumwambia yeyote siku hizo lolote kati ya mambo waliyoona.+