Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yesu akajibu, akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Ikiwa tu mna imani nanyi msitie shaka,+ hamtafanya nililofanya kwa mtini huo tu, bali pia mkiuambia mlima huu, ‘Ondoka, ukatupwe baharini,’ jambo hilo litatukia.+

  • Marko 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba mtu yeyote anayeuambia mlima huu, ‘Ng’oka ukatupwe baharini,’ naye hana shaka moyoni mwake lakini ana imani kwamba yale anayosema yatatukia, itakuwa hivyo kwake.+

  • Luka 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Bwana akasema: “Kama mngekuwa na imani yenye ukubwa wa mbegu ya haradali, mngeuambia mforsadi huu mweusi, ‘Ng’oka ukapandwe baharini!’ nao ungewatii ninyi.+

  • 1 Wakorintho 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na ikiwa nina zawadi ya kutoa unabii+ nami nazijua siri takatifu+ zote na ujuzi+ wote, na ikiwa nina imani yote kuweza kuhamisha milima,+ lakini sina upendo, mimi si kitu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki