21 Yesu akajibu, akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Ikiwa tu mna imani nanyi msitie shaka,+ hamtafanya nililofanya kwa mtini huo tu, bali pia mkiuambia mlima huu, ‘Ondoka, ukatupwe baharini,’ jambo hilo litatukia.+
23 Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba mtu yeyote anayeuambia mlima huu, ‘Ng’oka ukatupwe baharini,’ naye hana shaka moyoni mwake lakini ana imani kwamba yale anayosema yatatukia, itakuwa hivyo kwake.+
6 Ndipo Bwana akasema: “Kama mngekuwa na imani yenye ukubwa wa mbegu ya haradali, mngeuambia mforsadi huu mweusi, ‘Ng’oka ukapandwe baharini!’ nao ungewatii ninyi.+
2 Na ikiwa nina zawadi ya kutoa unabii+ nami nazijua siri takatifu+ zote na ujuzi+ wote, na ikiwa nina imani yote kuweza kuhamisha milima,+ lakini sina upendo, mimi si kitu.+