14 Kwa hiyo Daudi akamwambia Gadi: “Ni jambo lenye kunitaabisha sana. Tafadhali, acha tuanguke mkononi mwa Yehova,+ kwa maana rehema zake ni nyingi;+ lakini usiniache nianguke mkononi mwa mwanadamu.”+
31 Kwa maana alikuwa akifundisha wanafunzi wake na kuwaambia: “Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa watu, nao watamuua, lakini, ijapokuwa atauawa,+ atafufuka siku tatu baadaye.”+