Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo Daudi akamwambia Gadi: “Ni jambo lenye kunitaabisha sana. Tafadhali, acha tuanguke mkononi mwa Yehova,+ kwa maana rehema zake ni nyingi;+ lakini usiniache nianguke mkononi mwa mwanadamu.”+

  • Mathayo 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Tazameni! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi, nao watamhukumia kifo,+

  • Marko 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana alikuwa akifundisha wanafunzi wake na kuwaambia: “Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa watu, nao watamuua, lakini, ijapokuwa atauawa,+ atafufuka siku tatu baadaye.”+

  • Luka 9:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “Yawekeni maneno hayo katika masikio yenu, kwa maana Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa watu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki