Zaburi 62:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+ Marko 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini akasikitishwa na neno hilo na kwenda zake akiwa amehuzunika, kwa maana alikuwa na mali nyingi.+ Luka 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Aliposikia neno hilo, akahuzunika sana, kwa maana alikuwa tajiri sana.+
10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+
22 Lakini akasikitishwa na neno hilo na kwenda zake akiwa amehuzunika, kwa maana alikuwa na mali nyingi.+