Mathayo 27:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mwishowe, walipokuwa wamemdhihaki,+ wakalivua lile joho na kumvika mavazi yake ya nje na kumpeleka akatundikwe mtini.+ Yohana 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, wakati huo Pilato akamchukua Yesu na kumpiga mijeledi.+
31 Mwishowe, walipokuwa wamemdhihaki,+ wakalivua lile joho na kumvika mavazi yake ya nje na kumpeleka akatundikwe mtini.+