13 Na kutoka mbali akaona mtini uliokuwa na majani, akaenda kuona kama labda angeweza kupata kitu fulani juu yake. Lakini, alipofika mahali ulipokuwa, hakupata kitu ila majani, kwa maana hayakuwa majira ya tini.+
6 Ndipo akaendelea kutoa mfano huu: “Mtu fulani alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake la mizabibu,+ naye akaja akitafuta matunda juu yake,+ lakini hakupata yoyote.+