Luka 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Je, ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”+ Yohana 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hata sikumjua, bali Yule aliyenituma+ nibatize katika maji aliniambia, ‘Yeyote yule ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake, huyo ndiye ambaye hubatiza katika roho takatifu.’+
33 Hata sikumjua, bali Yule aliyenituma+ nibatize katika maji aliniambia, ‘Yeyote yule ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake, huyo ndiye ambaye hubatiza katika roho takatifu.’+