Mathayo 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata hivyo, ijapokuwa alitaka kumuua, aliuogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+ Mathayo 21:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Lakini, ijapokuwa walikuwa wakitafuta kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+
46 Lakini, ijapokuwa walikuwa wakitafuta kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+