Marko 11:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini je, tutathubutu kusema, ‘Ulitoka kwa wanadamu’?”—Walikuwa wakiuogopa umati, kwa maana umati wote huo ulimwona Yohana kwamba kwa kweli alikuwa nabii.+ Luka 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ watu wote watatupiga kwa mawe,+ kwa maana wao wamesadikishwa kwamba Yohana+ alikuwa nabii.”+
32 Lakini je, tutathubutu kusema, ‘Ulitoka kwa wanadamu’?”—Walikuwa wakiuogopa umati, kwa maana umati wote huo ulimwona Yohana kwamba kwa kweli alikuwa nabii.+
6 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ watu wote watatupiga kwa mawe,+ kwa maana wao wamesadikishwa kwamba Yohana+ alikuwa nabii.”+